Castiga chi vuole e usa misericordia a chi vuole. A Lui sarete ricondotti.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Anamuadhibu Anayemtaka kati ya viumbe Vyake kwa makosa waliyoyafanya siku za uhai wao, na Anawarehemu Anaowataka miongoni mwao, kati ya wale waliotubia, wakaamini na wakafanya matendo mema. Na Kwake Yeye mtarejeshwa muhesabiwe na mulipwe kwa mliyoyafanya.