Disse: «Mio Signore, dammi la vittoria su questo popolo di perversi!».
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Akasema, «Mola wangu! Nipe ushindi juu ya watu waharibifu kwa kuwateremshia adhabu, kwa kuwa wameuzua uchafu huu na wameendelea nao» Na Mwenyezi Mungu Akaikubali dua yake.