Ugualmente [accadde] a Qàrùn e Faraone e Hâmân 1, quando Mosè portò loro le prove, ma furono superbi sulla terra. Non poterono sfuggirci.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na tulimuangamiza Qārūn, Fir'awn na Hāmān. Na wote hao Mūsā aliwajia na dalili waziwazi, wakajifanya wakubwa katika ardhi na wakafanya kiburi humo. Na hawakuwa wao ni wenye kutuponyoka, bali sisi tulikuwa tuna uweza juu yao.