Queste metafore Noi le proponiamo agli uomini, ma non le capiscono se non i sapienti.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na mifano hii tunawapigia watu , ili wanufaike nayo na wajifunze kwayo. Na hawaielewi isipokuwa wale wanaomjua Mwenyezi Mungu na kuzijua aya Zake na Sheria Zake.