Giammai se l’augureranno, a causa di quel che hanno commesso le loro mani. Allah ben conosce gli empi.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na wala hawa Mayahudi hawatatamani kifo kabisa kwa vile wanavyoyapenda maisha ya duniani kuliko Akhera na kwa kuogopa kuteswa na Mwenyezi Mungu kwa sababu ya yale waliyoyatanguliza ya ukafiri na matendo maovu. Na Mwenyezi Mungu Anawajua mno madhalimu, hakifichamani Kwake chochote cha udhalimu wao.