Rendi il loro diritto ai parenti, ai poveri e al viandante, senza [per questo] essere prodigo,
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na umfanyie wema kila mwenye ukaribu wa ujamaa na wewe, na umpe haki yake ya wema na hisani, na umpe masikini mwenye uhitaji na msafiri aliyeepukana na watu wake na mali yake, na usitumie mali yako katika njia isiyokuwa ya kumtii Mwenyezi Mungu au kwa njia ya kupita kiasi na ufujaji.