Non portare la mano al collo 1 e non distenderla neppure con troppa larghezza 2 , ché ti ritroveresti biasimato e immiserito.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Wala usiuzuie mkono wako kutumia katika njia njema, ukaidhiki nafsi yako na watu wako na wahitaji, na wala usipite kiasi katika matumizi ukatoa zaidi ya uwezo wako, kwani ukifanya hivyo utaketi hali ya kuwa ni mwenye kulaumiwa, kwani watu watakulaumu na watakutukana, na ni mwenye kujuta juu ya ufujaji wako na mali yako kupotea.