Nel Giorno in cui vi chiamerà, Gli risponderete lodandoLo e crederete di essere rimasti [nella tomba] ben poco».
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Siku Atakapowaita Muumba wenu mtoke kwenye makaburi yenu na mkaitika amri ya Mwenyezi Munguna na mkaiyandama, na shukrani ni Zake kwa kila namna, na mkadhani, kwa kituko cha Siku ya Kiyama na kwa kipindi kirefu cha kukaa kwenu Akhera, kwamba nyinyi hamkukaa duniani isipokuwa muda mchache.