E dicono: «Non ti presteremo fede finché non farai sgorgare per noi una sorgente dalla terra;
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na Qur’ani ilipowaelemea washirikina na ikawashinda, waliingia kutaka miujiza kulingana na mapendeleo yao wakasema, «Hatutakuamini, ewe Muhammad, na hatutafanya vile unavyosema mpaka utupasulie kwenye ardhi ya Makkah chemchemu ya maji yenye kupita.