Registrazione
Registrazione
Registrazione
Seleziona la lingua

Tafsir: Al-Kahf 18:59

18:59
وتلك القرى اهلكناهم لما ظلموا وجعلنا لمهلكهم موعدا ٥٩
وَتِلْكَ ٱلْقُرَىٰٓ أَهْلَكْنَـٰهُمْ لَمَّا ظَلَمُوا۟ وَجَعَلْنَا لِمَهْلِكِهِم مَّوْعِدًۭا ٥٩
وَتِلۡكَ
ٱلۡقُرَىٰٓ
أَهۡلَكۡنَٰهُمۡ
لَمَّا
ظَلَمُواْ
وَجَعَلۡنَا
لِمَهۡلِكِهِم
مَّوۡعِدٗا
٥٩
Quelle città 1le facemmo perire quando [i loro abitanti] furono ingiusti; per ognuna avevamo stabilito un termine per la loro distruzione.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Vijiji hivyo vilivyo karibu na nyinyi, kama vijiji vya watu wa Nūḥ„ Ṣāliḥ„ Lūṭ, na Shu'ayb, tuliviangamiza watu wake walipodhulumu kwa kukufuru, na tuliwawekea wakati na muda maalumu wa kuwaangamiza; walipoufikia adhabu iliwajia na Mwenyezi Mungu Akawaangamiza kwayo.