E chi crede e compie il bene avrà la migliore delle ricompense e gli daremo ordini facili».
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
«Na ama aliyemuamini Mola wake miongoni mwao, akamkubali, akampwekesha na akafanya matendo ya utiifu Kwake, basi atapata Pepo ikiwa ni malipo kutoka kwa Mwenyezi Mungu, na tutamfanyia wema na tutasema naye kwa upole na tutaamiliana naye kwa usahali.»