Vi sono [gradi] distinti presso Allah; Allah vede perfettamente quello che fanno.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Watu wa Peponi wenye kufuata yenye kumridhisha Mwenyezi Mungu wanatafautiana daraja. Na watu wa Motoni wanaofuata yenye kumkasirisha Mwenyezi Mungu wanatafautiana katika matobwe. Wao hawalingani. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuziona amali zao, hakifichiki chochote Kwake katika matendo yao.