[in quanto] discendenti gli uni degli altri. Allah è audiente, sapiente.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Manabii hawa na Mitume ni mlolongo wa usafi wenye kuungana katika kumtakasa Mwenyezi Munguna, kumpwekesha na kutenda vitendo vinavyoambatana na wahyi Wake. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuyasikia maneno ya waja Wake, ni Mjuzi wa vitendo vyao na Atawalipa kwavyo.