eccetto coloro che poi si pentiranno e si emenderanno, poiché Allah è perdonatore, misericordioso.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Isipokuwa waliorudi kwa Mola wao kwa kutubia kidhati baada ya ukafiri wao na udhalimu wao na wakayatengeneza, kwa toba yao, waliyoyaharibu. Mwenyezi Mungu Ataikubali hiyo toba, kwani Yeye ni Mwingi wa kusamehe madhambi ya waja wake, ni Mwenye huruma kwao.