Dicono: «Allah si è preso un figlio» 1 . Gloria a Lui! 2 Egli possiede tutto quello che è nei cieli e sulla terra. Tutti Gli sono sottomessi.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na walisema Mayahudi na Wanaswara, “Mwenyezi Mungu Amejifanyia mtoto.” Ameepukana Mwenyezi Mungu, kutakasika na sifa pungufu ni Kwake, na neno hilo la batili! Kwani wote walioko mbinguni na ardhini ni milki Yake na ni watumwa Wake. Wote wanamnyenyekea Yeye na wanapelekewa wakiwa chini ya uendeshaji Wake.