In verità ti abbiamo inviato 1 come nunzio e ammonitore, e non ti sarà chiesto conto 2 di quelli della Fornace 3 .
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Sisi tumekutumiliza, ewe Mtume, kwa Dini ya haki iliyotiliwa nguvu kwa hoja na miujiza. Basi ifikishe kwa watu, pamoja na kuwapa Waumini bishara ya kheri ya dunia na ya Akhera, na kuwatisha wakaidi na adhabu ya Mwenyezi Mungu inayowangojea. Na baada ya kufikisha ujumbe, hutaulizwa juu ya ukafiri wa wenye kukukanusha. Wao wataingia Motoni, Siku ya Kiyama, wala hawatatoka humo.