Ma chi teme un’ingiustizia o un peccato da parte di un testatore, e ristabilisce la concordia 1 , non avrà commesso peccato 2 . Allah è perdonatore, misericordioso.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Basi yoyote atakayejua kuwa mwenye kuusia amepinduka, kwa kuiacha haki katika wasia wake kwa njia ya kukosea au kukusudia, akamnasihi mtoaji wasia, wakati wa kutoa wasia, afanye uadilifu, na iwapo hilo halikuwa akaleta upatanishi kati ya pande zinazohusika kwa kugeuza wasia ili ulingane na Sheria, basi atakuwa hana dhambi katika kupatanisha huku. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kuwasamehe waja wake, ni Mwenye huruma kwao.