E quando gli si dice: «Temi Allah», un orgoglio criminale lo agita. L’Inferno gli basterà, che tristo giaciglio!
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na anaponasihiwa mnafiki huyo mharibifu na akaambiwa, «Mche Mwenyezi Mungu,ujihadhari na adhabu Yake na ukomeke na kuleta uharibifu katika ardhi,» huwa hakubali nasaha. Bali kile kiburi chake na mori wa kijinga humfanya kutenda maovu zaidi. Basi adhabu yenye kumtosheleza yeye na kumkifu ni Jahanamu. Na hakika uovu wa tandiko ndilo hilo.