Ma se poi decidono il divorzio, in verità Allah ascolta e conosce.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na iwapo wameamua kutaliki, kwa kuendelea kwao na kiapo chao na kuacha kuundama, Basi Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuyasikia maneno yao, ni Mjuzi wa Malengo yao, na Atawalipa kwayo.