Gli ‘Ad tacciarono di menzogna. Quale fu il Mio castigo, quali i Miei moniti!
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Watu wa kabila la 'Ād walimkanusha Hūd tukawatesa, basi ilikuwa vipi vile nilivyowaadhibu wao kwa ukafiri wao na vile nilivyowaonya wao kwa kumkanusha Mtume wao na kutomuamini? Ilikuwa kubwa yenye uchungu.