Tacciano di menzogna e seguono le loro passioni, ma ogni Decreto è prefissato.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na walimkanusha Nabii, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, wakafuata upotevu wao na kile cha ukanushaji ambacho matamanio yao yaliwavuta kwacho. Na kila jambo, la kheri au la shari, litawashukia wanaostahili Siku ya Kiyama yatakapodhihiri malipo na mateso.