Vorranno uscire dal Fuoco, ma non ne usciranno. Avranno perpetuo tormento.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Makafiri hawa watataka watoke Motoni kwa ajili ya visanga vyake wanavyovipata, lakini hawatakuwa na njia yoyote ya kufanya hivyo. Na watakuwa na adhabu ya kudumu.