e avrà ricordato il Nome di Allah e assolto all’orazione.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
na akamtaja Mwenyezi Mungu, akampwekesha, akamuomba, akafanya vitendo vya kumridhisha na akasimamisha Swala kwa nyakati zake kwa kutaka radhi za Mwenyezi Mungu na kufuata sheria Aliyoiweka.