Registrazione
Registrazione
Registrazione
Seleziona la lingua

Tafsir: An-Nahl 16:50

16:50
يخافون ربهم من فوقهم ويفعلون ما يومرون ۩ ٥٠
يَخَافُونَ رَبَّهُم مِّن فَوْقِهِمْ وَيَفْعَلُونَ مَا يُؤْمَرُونَ ۩ ٥٠
يَخَافُونَ
رَبَّهُم
مِّن
فَوۡقِهِمۡ
وَيَفۡعَلُونَ
مَا
يُؤۡمَرُونَ۩
٥٠
temono il loro Signore che è al di sopra di loro e fanno ciò che è loro ordinato.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Hao Malaika wanamuogopa Mola wao Ambaye Yuko juu yao kwa dhati Yake, utendeshaji nguvu Wake na ukamilifu wa sifa Zake, na wanafanya wanayoamrishwa ya kumtii Mwenyezi Mungu. Katika aya hii pana kuthibitisha sifa ya kuwa Mwenyezi Mungu Yuko juu ya viumbe vyake vyote, kama inavyonasibiana na utukufu Wake na ukamilifu Wake.