In quel Giorno offriranno ad Allah la loro sottomissione e le loro invenzioni li abbandoneranno.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na hiyo Siku ya Kiyama, washirikina wataonyesha kusalimu amri na unyenyekevu kwa Mwenyezi Mungu, na yatawapotea yale ya urongo waliokuwa wakiyazua na kwamba waungu wao watawaombea.