Guidarvi sulla retta via è prerogativa di Allah, poiché altre [vie] se ne allontanano 1. Se volesse vi guiderebbe tutti.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na ni juu ya Mwenyezi Mungu kuwaeleza njia iliolingana sawa ya kuwaongoa nyinyi, nayo ni Uislamu. Na miongoni mwa njia kuna iliyoenda kombo isiyofikisha kwenye uongofu, nayo ni kila njia iliyo kinyume na Uislamu miongoni mwa mila na itikadi. Na lau Angalitaka Mwenyezi Mungu kuwaongoza, basi Angaliwaongoza nyote kwenye Imani.