Allah non ama che venga conclamato il male, eccetto da parte di colui che lo ha subito 1 . Allah tutto ascolta e conosce.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Hapendi Mwenyezi Mungu kwa yoyote adhihirishe neno ovu. Lakini yaruhusiwa kwa aliyedhulumiwa amtaje aliyemdhulumu kwa uovu alionao, ili akibainishe alichodhulumiwa nacho. Na daima Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuyasikia mnayoyadhihirisha na ni Mwenye kuyajua mnayoyaficha kati ya hayo.