[li abbiamo maledetti] per via della loro miscredenza e perché dissero contro Maria calunnia immensa 1 ,
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na vile vile tuliwalaani kwa sababu ya ukafiri wao na kumzulia kwao Maryam urongo kwa yale waliyomsingizia nayo ya uzinifu na hali yeye yupo mabali na hilo.