perché praticano l’usura – cosa che era loro vietata – e divorano i beni altrui 1 . A quelli di loro che sono miscredenti, abbiamo preparato un castigo atroce.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na kwa sababu ya kutumia kwao riba ambayo walikatazwa wasitumie na kujihalalishia kwao mali za watu pasi na haki. Na tumewatayarishia waliomkanusha Mwenyezi Mungu na Mtume Wake adhabu iumizayo huko Akhera.