Disse [Salomone]: «O notabili, chi di voi mi porterà il suo trono 1prima che vengano a me sottomessi?».
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Sulaymān akasema akiwahutubia wale ambao Mwenyezi Mungu Amemdhalilishia miongoni mwa majini na binadamu, «Ni nani kati yenu ataniletea kitanda cha ufalme wake kabla hawajanijia wakiwa katika hali ya kufuata na kutii?»