Il Decreto cadrà loro addosso, perché furono ingiusti e non parleranno [più] 1.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Hapo lithibiti juu yao neno la adhabu kwa sababu ya udhalimu wao na ukanushaji wao, na watakuwa hawatamki neno lenye hoja ya wao kujitetea nafsi zao ili kujiepushia adhabu kali iliyowashukia.