e di recitare il Corano. Chi segue la retta via lo fa a suo vantaggio. E di’ a chi si svia: «Io non son altro che uno degli ammonitori».
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
na niwasomee watu Qur’ani, basi mwenye kuongoka kuyajua yaliyomo ndani yake na akayafuata niliokuja nayo, wema wa hilo na malipo yake yatamfaa mwenyewe. Na mwenye kupotea akapotoka na njia ya haki, basi wewe sema, «Mimi ni muonyaji kwenu, nawaonya na adhabu ya Mwenyezi Mungu na mateso Yake iwapo hamtaamini, kwani mimi ni mmoja wa Mitume waliowaonya watu wao, na uongofu wa aina yoyote hauko mikononi mwangu.