I timorati [di Allah] saranno tra ombre e sorgenti,
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Hakika ya wale waliomuogopa Mola wao duniani na wakaiogopa adhabu Yake kwa kufuata amri Zake na kujiepusha na makatazo Yake. Wao Siku ya Kiyama watakuwa kwenye vivuli vya miti vilivyonyoka, na chemchemi za maji zinazotembea,