poiché si opposero 1ad Allah e al Suo Inviato. E quanto a chi si oppone ad Allah…, invero Allah è severo nel castigo!
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Hilo- lililowapata Mayahudi duniani na linalowangojea huko Akhera- ni kuwa wao walienda kinyume sana na amri ya Mwenyezi Mungu na amri ya Mtume Wake, wakawapiga vita na wakafanya harakati za kuwaasi. Basi yoyote mwenye kuenda kinyume na Mwenyezi Mungu na Mtume Wake, hakika Mwenmyezi Mungu Atamtesa vikali.