Tutte le palme che abbatteste 1e quelle che lasciaste ritte sulle loro radici, fu con il permesso di Allah 2, affinché Egli copra gli empi di ignominia.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Mitende mnayoikata au mnayoiacha imesimama juu ya mashina yake bila ya kuigusa , ni kwa idhini ya Mwenyezi Mungu na amri Yake, na ili Awadhalilishe kwa hilo wale waliotoka nje ya utiifu Kwake wenye kuenda kinyume na amri Yake na makatazo Yake, kwa kuwapa nguvu nyinyi kuikata mitende yao na kuichoma.