e dicevano: «Dopo che saremo morti e ridotti in polvere ed ossa, saremo forse resuscitati?
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na walikuwa wakisema hali ya kukanusha Ufufuzi, «Je hivi sisi tutafufuliwa tutakapokufa na tukawa mchanga na mifupa iliyochakaa?» Maneno yao hayo yanaonesha kuwa wao walikuwa wakiliona jambo hili la kufufuliwa kuwa liko mbali na ukweli na wakilikanusha.