Non voltare la tua guancia 1 dagli uomini e non calpestare la terra con arroganza: in verità Allah non ama il superbo vanaglorioso.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
«Na usizungushe uso wako ukauepusha na watu unaposema na wao au wanaposema na wewe, kwa kuwadharau na kuwafanyia kiburi, wala usitembee kwenye ardhi baina ya watu kwa kujigamba na kujivuna. Hakika Mwenyezi Mungu Hampendi kila mwenye kiburi, mwenye kujifahiri katika nafsi yake, pambo lake na maneno yake.