Allah vanificherà le opere dei miscredenti e di quelli che distolgono dalla Sua via 1 .
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Wale waliokataa kwamba Mwenyezi Mungu Ndiye Peke Yake Mungu wa kweli Asiye na mshirika, na wakawazuia watu na Dini Yake, Mwenyezi Mungu Atazifuta amali zao na kuzipomosha na Atawapa usumbufu kwa sababu ya amali zao hizo.