Essi sono coloro che Allah maledice: li rende sordi e acceca i loro occhi.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Hao ndio wale ambao Mwenyezi Mungu Amewaepusha na rehema Yake Akawafanya wasiyasikie yanayowanufaisha wala wasiyaone na zisiwafunukie hoja za Mwenyezi Mungu pamoja na kuwa ni nyingi.