E [ci fu segno] negli ‘Àd, quando inviammo contro di loro il vento devastante
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na kuhusu mambo ya watu wa kabila la 'Ād na kuwaangamiza wao kuna dalili na mazingatio kwa mwenye kutia mambo akilini, tulipowapelekea wao upepo usiokuwa na baraka na usioleta kheri yoyote,