E invece tacciano di menzogna la verità che è giunta loro, ed ecco che sono in grande confusione.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Bali hawa washirikina waliikanusha Qur’ani ilipowajia. Wao wako kwenye hali ya babaiko na kuchanganyikiwa, hawasimami imara kwenye jambo lolote, na hawana kituo cha kutulia.