E dicono: «Quando si realizzerà questa promessa? [Ditecelo], se siete veridici!».
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na hawa washirikina wanasema kwa njia ya shere, «Ni lini wakati wa Ahadi hii ambayo unatuahidi kuwa Mwenyezi Mungu Atatukusanya ndani yake kisha Ahukumu baina yetu, iwapo nyinyi ni wakweli katika kile mlichotuahidi kwacho?»