Dissero: «Abbiamo ricchezze più grandi e figli, quindi non saremo castigati».
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na wanasema, «Sisi ni wengi zaidi wa mali na watoto, na Mwenyezi Mungu hakutupa neema hizi isipokuwa ni kuwa anaridhika na sisi, na sisi si wenye kuadhibiwa duniani wala Akhera.»