Registrazione
Registrazione
Registrazione
Seleziona la lingua

Tafsir: Saba 34:51

34:51
ولو ترى اذ فزعوا فلا فوت واخذوا من مكان قريب ٥١
وَلَوْ تَرَىٰٓ إِذْ فَزِعُوا۟ فَلَا فَوْتَ وَأُخِذُوا۟ مِن مَّكَانٍۢ قَرِيبٍۢ ٥١
وَلَوۡ
تَرَىٰٓ
إِذۡ
فَزِعُواْ
فَلَا
فَوۡتَ
وَأُخِذُواْ
مِن
مَّكَانٖ
قَرِيبٖ
٥١
Se li vedessi quando saranno atterriti, senza nessuna via d’uscita e afferrati da presso 1 !
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na lau ungaliona, ewe Mtume, pindi watakapobabaika wakanushaji pale watakapoishuhudia adhabu ya Mwenyezi Mungu, ungaliona jambo kubwa! Hawatakuwa na uokozi wala makimbilio na watachukuliwa hadi Motoni kutoka mahali karibu pa kutwaliwa.