Obbligammo le montagne a renderCi gloria con lui 1 , alla sera e al mattino;
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Hakika sisi tuliyadhalilisha majabali pamoja na Dāwūd, yakawa yanamtakasa Mwenyezi Mungu kwa kumsabihi wakati anapomtakasa kwa kumsabihi mwanzo wa mchana na mwisho wake.