[Ecco] un Libro benedetto che abbiamo fatto scendere su di te 1 , affinché gli uomini meditino sui suoi versetti e ne traggano un monito i savi.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Hiki ulicholetewa kwa njia ya wahyi, ewe Mtume, ni Kitabu tulichokuteremshia kilichobarikiwa, ili wafikirie juu ya aya zake na wazitumie njia zake za uongofu na ishara zake njema, na ili wapate kukumbuka watu wenye akili timamu yale Aliyowalazimisha Mwenyezi Mungu.