Registrazione
Registrazione
Registrazione
Seleziona la lingua

Tafsir: Taha 20:51

20:51
قال فما بال القرون الاولى ٥١
قَالَ فَمَا بَالُ ٱلْقُرُونِ ٱلْأُولَىٰ ٥١
قَالَ
فَمَا
بَالُ
ٱلۡقُرُونِ
ٱلۡأُولَىٰ
٥١
Disse: «Cosa ne è delle generazioni antiche?» 1 .
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Fir'awn akasema kumwambia Mūsā kwa njia ya kukosoa na kuteta, «Mambo yalikuwa vipi kwa ummah waliopita? Na ni vipi habari za kame zilizopita, kwani wao wametutangulia katika ukanushaji na ukafiri?»