affinché mangiassero i Suoi frutti e quel che le loro mani non hanno procurato 1 . Non saranno riconoscenti?
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Yote hayo ili waja wapate kula matunda yake. Na hayo hayakuwa isipokuwa ni rehema ya Mwenyezi Mungu kwao, na si kwa harakati zao za kutafuta na bidii zao, wala si kwa hila zao na nguvu. Basi si wamshukuru Mwenyezi Mungu Aliyewaneemesha neema hizi ambazo hazihesabiki wala hazidhibitiki?