non giunge loro un solo segno, tra i segni del loro Signore, senza che se ne distolgano.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na huwajii, hawa washirikina, na alama yoyote iliyo wazi kutoka kwa Mola wao, ili uwaongoze kwenye haki na uwabainishie ukweli wa Mtume, isipokuwa wanaipa mgongo na wasinufaike nayo.