Non aspettano altro che un Grido, uno solo, che li afferrerà mentre saranno in piena polemica.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Hawangojei hawa washirikina wanaolifanyia haraka agizo la Mwenyezi Mungu kwao, isipokuwa mvuvio wa fazaa wakati Kiyama kitakaposimama, kitawachukua ghafla, na hali wao wanagombana katika mambo ya maisha yao.